expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Thursday, May 30, 2013

VIDEO:kama hukuona muvi ya mjengoni jana tarehe 30/5/2013,iko hapa iangalie

"SITAKI KUSIKIA NYIMBO ZA NGWEA ZIKIPIGWA CLOUDS FM..WAO NDO WALIOMFANYA AANZE KUVUTA BANGI ILI KUONDOA MAWAZO"...P FUNK



Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongw hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Fuck Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.

HII NDIO TWEET YA KIMAPENZI KATI YA MREMBO K'LYNE NA MHESHIMIWA REGINALD MENGI....ADAI KUWA NDIYE BABA WA MAPACHA WAKE WAWILI...!!


KATIKA kile kilichoonekana kuwa mapenzi haya Umri wala Rika leo katika pita pita zangu nimekutana na Tweet ya Msanii K'lyne akimtakia Happy Birthday kipenzi cha Roho yake Mheshimiwa Reginald  Mengi.

wabunge nusura kuzichapa leo mjengoni


Za moto moto leo kutoka kwenye tunaloliita Bunge La Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, sintofahamu imetokea ndani ya bunge baina ya wabunge wa Cuf na Chadema, hali iliyopeleka wabunge wa vyama hivyo kutaka kupigana ndani ya Bunge.
hivi ndivyo hali ilivyokuwa....

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YAKMETOKA INGIA KWENYE LINK HAPA CHINI

http://196.44.162.25/csee2012/Olevel.htm

Video;interview ya P-Funk kuhusu kifo cha Albert Mangwe na Clouds fm

Wednesday, May 29, 2013

angalia TWEETS za watu maarufu zinazo muhusu MANGWEA

PICHA ZA BAADHI YA WASANII WALIOHUDHULIA KIKAO CHA MSIBA WA MSANII “ALBERT MANGWEA” PALE LEADERS CLUB.

10

11
Kala Jeremiah amemwelezea Ngwea kama msanii wa pekee alikuwa 100% mkali wa Free Style na alimpenda kwa nyimbo kali kama Ghetto langu iliyom inspire kuingia kwenye Game.

Tuesday, May 28, 2013

TAARIFA YA MSANII BUSHOKE ALIYEKO SOUTH AFRICA KWA SASA KUHUSU KIFO CHA ALBERT MANGWEA..!!

MSANII maarufu wa nyimbo za 'hip hop' na Bongo Fleva, Albert Mangwea maarufu kama Man Ngwair aka Ngwair ametangazwa kuwa amefariki dunia leo akiwa nchini Afrika Kusini katika hospitali ya St. Hellen ya jijini Johanesburg.

Kwa mujibu wa taarifa za redio mbalimbali jioni hii nchini, inadhaniwa huenda Ngwair amefariki dunia kutokana na matatizo ya matumizi ya dawa za kulevya.

Aidha, taarifa kutoka kwa mmoja wa mtu wa karibu  wa Ngwair nchini humo, Hussein Original aliyepo mji wa Pretoria, alisema alikutwa amefariki wakati msanii mwenzake ‘M To The P’ alikutwa amepoteza fahamu majira ya asubuhi walipokwenda kuwagongea mlango gheto kwao. 
 
Daktari  tayari alishathibitisha taarifa hizo na tayari ametoa taarifa  kwa watu wa karibu wa msanii huyo.

Akiongea na redio ya Clouds FM, mwenyeji mwingine wa Afrika Kusini aliyejitambulisha kwa jina la Jonathan amesema usiku wa kuamkia leo 

Monday, May 27, 2013

GOOD NEWzzz: HII NI NEEMA KWA WALIOFELI KIDATO CHA NNE....UFAULU WAONGEZEKA, MATOKEO NI MUDA WOWOTE



Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu, Mwananchi limebaini.

cheki video ya nay wamitego ft Diamond platnumz.muziki gani


TOA MAONI YAKO




Sunday, May 26, 2013

UPDATE: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUTANGAZWA UPYA LEO JUMATATU TAREHE 27/5/2013

Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa leo baada ya kukamilika kwa marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja. chanzo cha kuaminika n ndugu wa wa waziri anayehusika na masuala ya Elimu nchini

TOA MAONI YAKO HAPA:



onja kidogo muomekano wa jumba la BIG BROTHER AFRICA-THE CHASE

amebaki masaa kiduchu kabla Afrika haijawaona Live washiriki wa Big Brother Africa 2013 ambayo imepewa jinaThe Chase. Lakini wakati kila mtu akisubiri kwa shauku kujua ni kina nani watakuwa ndani ya Jumba kuwania donge nono la Dola Laki Tatu ($300,000), hizi hapa ni picha ambazo zinakuonjesha japo kidoogo jinsi ambavyo jumba la Big Brother Africa lilivyo.
Inaaminika kwamba jumba lina camera 56 na vinasa sauti 137 kitu ambacho kinamuwezesha Biggie kuwaona washiriki 24/7.
Big Brother Africa 2013 inaletwa kwa udhamini wa Airtel na kuandaliwa na Endemol. Shindano litakuwa linaonekana masaa 24 kupitia DStv kwenye channels 197 na 198.

Big Brother The Chase - Sneak peek1

Big Brother The Chase - Sneak peek 2

Big Brother The Chase -  Sneak peek 3


TOA MAONI YAKO HAPA



Thursday, May 23, 2013

sikiliza nyimbo ya kwaya ya TYCS Arusha sec Hapa



JINA LA SUGU LAPIGWA 'STOP' KUTUMIKA BUNGENI....!



KATIKA hali iliyoonesha sintofahamu, jina la utani la Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chadema, Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’  lilionekana kumtatiza Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anne Semamba Makinda.

Tuesday, May 21, 2013

PROFESSA JAY AJIUNGA CHADEMA, CHEKI PICHA WAKATI AKIPOKEA KADI YA CHADEMA KUTOKA KWA SUGU

 
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Profesa amekabidhiwa kadi ya uanachama wa CHADEMA na mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu. Kujiunga rasmi kwa Profesa kwenye chama hicho kunaashiria kuwa huenda akawa na nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2015





Monday, May 20, 2013

skiliza nyimbo ya Vanessa Mdee, closer.Big up Vanessa Mdee



PROFESA J NA SAKATA LA JAY D



                                                                     Stori:Chande Abdallah
WIKI hii kwenye Funguka na Risasi tunaye mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule, ‘Profesa Jay’ ambaye anafunguka juu ya bifu kati ya Judith Wambura ‘Jide’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti wa Clouds Media, Ruge Mutahaba.
Profesa Jay naye ametajwa katika sakata hilo kutokana na kushirikishwa katika wimbo wa Joto Hasira ambao wengi wameutafsiri kuwa na vijembe kwa Ruge.
                                            Funguka: Mambo vipi Profesa, nimekutafuta ili nipate msimamo wako kwenye bifu kati ya msanii mwenzako (Jide) na Ruge.
Profesa Jay: Kwanza nianze kusema kuwa mimi sina upande wowote ambao ninaweza kuusimamia, sipo kwa Ruge wala kwa Jide.
Funguka: Kumekuwa na minong’ono mitaani kuwa upo upande wa Jide kwani mmekuwa mkifanya kazi pamoja vilevile ni marafiki kwa muda mrefu na ndiyo maana amekushirikisha kwenye wimbo wake wa Joto Hasira. Unalizungumziaje hili?
Profesa Jay: Ishu siyo mimi kuwa upande wa Jide au wa Ruge, kitu ambacho ninaweza kukizungumzia ni kwamba Jide alinishirikisha kwenye wimbo huo hata kabla ya hilo bifu lao sijalifahamu. Mimi niliimba kutokana na maudhui ya wimbo ulivyokuwa ukitaka. Kwa hiyo bado nasisitiza kuwa sifungamani na upande wowote katika jambo hili.
Funguka: Kama ni hivyo, unachukuliaje suala la Jide na Ruge kufikia hatua ya kuburuzana mahakamani?
Profesa Jay: Kuhusu hilo, sitakuwa msemaji sana ila kwa jinsi ninavyofahamu, Jide ni msanii mkongwe. Kama unakumbuka nilishawahi kufanya naye traki kadhaa kama Bongo Dar-es-salaam na Niamini. Kikubwa ni kwamba Jide anajiheshimu sana na nadhani kila anachokifanya anakijua vizuri.
Funguka: Unamuongeleaje Ruge na uongozi mzima wa Clouds kuhusu sakata hili?
Profesa Jay: Binafsi siwezi kuwaongelea Clouds au Ruge kwa jambo lolote, kwa sababu ninaamini na wao ni watu wazima na wanafahamu nini wanachokifanya.
Funguka: Hivi karibuni tumesikia wasanii kadhaa wamejitoa kwenye orodha ya wasanii watakaomsapoti Jide kwenye shoo yake ya Mei 31, vipi wewe utakamua kama kawaida?
Profesa Jay: Nikutoe wasiwasi, mimi binafsi nitakuwepo kwenye shoo ya Jide na nitapiga mzigo wa kufa mtu kumsapoti kwa akili yangu yote, nguvu zangu zote na moyo wangu wote.
Funguka: Poa, nashukuru kwa ushirikiano wako, kazi njema.
Profesa Jay: Haina kwere. 
       Chanzo GPL

MADAM RITA WA BONGO STAR SEARCH ANATIA HURUMA KUTOKANA NA HALI ALIYONAYO



Kilichompata Madam Rita kinasikitisha! Ndivyo unavyoweza kusema ukibahatika

Kama hukuona yaliyotokea bungeni jana kuhusu hotuba ya mh,SUGU cheki video ya tukio zima


PICHA ZA DIAMOND NA NEY WA MITEGO WAKIPAGAWISHA MASHABIKI KATIKA UZINDUZI WA VIDEO YA MUZIKI GANI


Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki.
Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

TAARIFA KUTOKA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA


Friday, May 17, 2013

MAGUFULI AGEUKA JOTI BUNGENI, HIVI NI BAADHI YA VICHEKESHO ALIVYOTOA BUNGENI. SOMA HAPA

Waziri wa ujenzi Dk John Pombe Magufuli
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli ndiye waziri namba moja hadi sasa kwa kulivunja mbavu Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma kutokana na vichekesho vyake wakati alipokuwa akijibu hoja za wabunge mbalimbali hivi karibuni.

BAADA YA TID KUJITOA SHOW YA JIDE WATU WAMSHAMBULIA FB, CHEKI MWENYEWE HAPA



  

NDOA YA PREZOO NA DIVA YATARAJIWA KUFANYIKA HIVI KARIBUNI

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Redio,  Loveness Malinzi ‘Diva’ ameifungukia ndoa yake na staa wa muziki wa Kenya, Jackson  Makini ‘Prezzo’ kuwa haiko mbali kwani hatua waliyofikia ni nzuri. 
                                                               Loveness Malinzi ‘Diva’ katika pozi na staa wa muziki wa Kenya, Jackson  Makini ‘Prezzo’.
Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni Diva alisema uhusiano wake na jamaa huyo hakuna wa kuutibua na anamshangaa msichana anayejitambulisha kwa jina la Boss lady anayedai ameingiliwa.

Thursday, May 16, 2013

WARAKA WA ANTI VIRUS UNAOWAHUSU RUGE NA KUSAGA


                                     https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiiREDg9f3Xtb-8wlwMvvP0DsvDMtHBXTCzbT4KNdJEgqVxDMnBQlklxGFyACB7af5xlDKhlMgDZoStOXuQwQW8i-tENWjkG6k_NdlXglv1yItwaiY7MZTLHA1tMSJdHoozd3kyqnFIm0BC/s1600/Anti+virus.jpg                ANTiVIRUS DAWA YA Virus WA Hiphop in Tanzania

WARAKA NAMBA 1(ZIPO 88) KILA WIKI UTAPATA WARAKA MMOJA

Ni wazi na dhahiri kabisa kesi iliofunguliwa mahakamani dhidi ya Lady JayDee haina maana yoyote isipokuwa ni hofu ya mafisadi wa muziki nchini (Kusaga na Ruge) kwa kuwa waraka wa pili ulikuwa utoke tar 15 may na mwingine tar 17 may mwaka huu wa 2013.

MUONEKANO MPYA WA OMMY DIMPOZ


Instagram

MABINGWA WA EUROPA LEAGUE


Siku ya jana usiku chelsea walijikuta mabingwa wa europa league baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Benfica.
Torres ndiye aliyeanza kufungua nyavu za Benfica, mdaa mfupi baadae Benfica walijipatia goal la kusawadhisha kutoka kwa O. Cardozo (PG) dakika ya 68′.

Chelsea walijipatia goal la ushindi kwenye dakika za nyongeza kupita kwa Ivanovic.
Ushidni huo umempa furaha kubwa John Terry hadi kupelekea kuongeza mdaa wa kuendelea kuichezea Chelsea.

Tuesday, May 14, 2013

LADY JAY DEE AFIKIRIA KUHAMIA KENYA AU MALAWI





Ni masaa machache tu yaliyopita mwanamuziki LADY JAYDEE ameandika kutaka kuihama nchi yake  na kuelekea nchi jirani ya  KENYA ...

Lady Jaydee anafikiria kwenda kuomba uraia KENYA ama MALAWI kwa kile kinachoonekana kuwa ni kutaka  kujinasua  katika  migogoro  inayomkabili ambayo  tayari  iko mahakamani...
mwanamuziki huyo ametwee hivi



soma TWEETS za DIVA LOVENESS LOVE kuhusu mh ZITTO ZUBERI KABWA na INSTAGRAM inayomuhusu laazizi wake PREZOO



 Baaye  kikafuata  KIBUTI  kwa  mh. Mbunge.

HUYU NDIYO BINTI ANAYEDAI KUBAKWA NA MBUNGE WETU WA ARUSHA MJINI MH.GODBLESS LEMA,ANGALIA PICHA ZAKE HAPA


Monday, May 13, 2013

HEMED PHD ANUSURIKA KUPEWA KICHAPO NA MREMBO ALIYEMTOMASA NA KUMPULIZIA PERFUME KINYEMELA...!!


Ni usiku wa jana wakati PHD akizindua wimbo wake wa Rest of my life ambapo hit maker huyo wa Mama kimbo aliingia kwa stayle ya kuspray perfume kwa fans wake na kwa bahati isiyo nzuri kwa PHD alispray perfume kwa mwanadada wa kitasha aliyekuwa akishout kwa kumwita hemed on stage.....

Hemed alikosea  kwa kudhani kuwa mwanadada naye anataka apigwe unyunyu...Alimfuata  na  "tomasa toma style"  alafu  akamtandika  unyunyu  na hiyo ikawa ndiyo mistake kwa mkali huyo wa music na bongo movie... kumbe bi dada alimaindi...!!!

Alisubiri mpaka hemed alipomaliza kufanya yake on stage , then akamfuata backstage na   kutaka  kumnasa  makofi  huku  akitema  cheche.



PICHA YA MTUHUMIWA NAMBA MOJA WA MLIPUKO WA BOMU LA KANISANI JIJINI ARUSHA.....HUYU HAPA!!


Mtuhumiwa Bomu Kanisani, Asomewa mashtaka 21      font size decrease font size increase font size     Print  Mtuhumiwa Bomu Kanisani Arusha, Victor Ambrose Calist (20).Joseph Pantaleo, Arusha Tanzania Arusha kumekucha, mtuhumiwa mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka 21 ya mauaji na kujaribu kuua.  Kesi ya mshtakiwa Victor Ambrose Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo jijini Arushai amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi, Devotha Kamuzora.  Mtuhumiwa huyo anakabiliwa na mashtaka matatu ya mauaji ya watu watatu waliofariki dunia katika tukio ambalo lililotokea Mei 5, mwaka huu.  Mawakili wa serikali, Haruna Matagane na Zachariah Elisaria wanadai Calist pia anatuhumiwa kwa makosa 18 ya kujaribu kuua. Hata hivyo makosa mengine bado hajatajwa mpaka hivi sasa.  Pia polisi imewaachia huru raia wanne wa kigeni waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio hilo baada ya uchunguzi uliofanywa na jeshi hilo kwa kushirikiana na FBI na polisi wa kimataifa (Interpol), kubaini hawakuhusika kurusha bomu katika kanisa hilo.
Mtuhumiwa Bomu Kanisani, Asomewa mashtaka 21

Mtuhumiwa Bomu Kanisani Arusha, Victor Ambrose Calist (20).Joseph Pantaleo, Arusha Tanzania

Arusha kumekucha, mtuhumiwa mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka 21 ya mauaji na kujaribu kuua.

UPDATE: MAHAKAMA YAMPIGA 'STOP' JAYDEE KUIKASHIFU CLOUDS FM,ANGALIA NA PICHA ZAKE HAPA


Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee(Pichani) muda si mrefu amepokea hati yake ya mashtaka kutoka katika mahakama ya Kinondoni ambapo ameshtakiwa na Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds FM baada ya kuwa na kutofautiana kwa muda. Jaydee ambaye alikuwa Baraza la Sanaa ambapo alikuwa akiongea katika jukwaa la wasanii, alipata ujumbe wa kuitwa mahakamani na alipofika alikabidhiwa hati hiyo ambayo mwenyewe alikataa kusema makosa aliyoorodheshewa, na kusema kwamba anataka kwanza awasiliane na mwanasheria wake. Kikubwa ambacho aliweza kusema kwa waandishi waliokuwa wameongozana naye ni kwamba, kesi itaanza kuunguruma tar 27 mahakamani hapo

Saturday, May 11, 2013

GAZETI LA MTANZANIA:POMBE YA KIROBA KUPIGWA MARUFUKU


SERIKALI inakusudia kupiga marufuku pombe iliyohifadhiwa katika paketi maarufu kwa jina la kiroba, kama hatua ya kulinda afya za watumiaji. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi alitoa taarifa hiyo bungeni juzi jioni wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge wakati akihitimisha mjadala kuhusu bajeti ya wizara yake.

PREZO NA DIVA LOVENESS LOVE WAPO KWENYE MAPENZI MOTOMOTO



Taarifa za siri ambazo zimefika mezani kwa muhariri zina nong'oneza kwamba Rapper tajiri nchini Kenya kwa sasa hivi yuko katika mahaba mazito na Mtangazaji wa kituo cha radio kikubwa nchini Tanzania, namzungumzia Diva Loveness Love wa Ala za Roho, inasemekana mahusiano yao yalianza wiki za karibuni baada ya Prezoo kudondoka bongo na alialikwa kwenye kipindi cha Ala za roho ndipo picha zima lilipo anzia, kama utani wakaanza kutania taniana, sasa usiku wa tukio hawakufanikiwa kwenda out lakini namba zilibadilishwa pale, kilichofata baada ya hapo sasa Prezzo akataka kwenda mpaka kwa kina binti lakini akazuiliwa wataalamu wa mambo wanasema penye nia pana njia, basi huenda time navyozungumza japo Prezzo hayuko bongo narudia tena…huenda mambo yao yako bam bam kwa nija ya simu.
     muhariri alipojaribu kucheki na diva mwanadada akapangua shuti kuleeeee,na kudai kuwa yuko na boyfriend wake wa KITANZANIA na prezoo  ni MSHKAJI tu.Alipovutiwa wire PREZZOOO jamaa akaja mzima mzimaaaaa na kutiririka ya moyoni kuwa ni kweli kuwa anampenda DIVA na mipango mingine inafuata.sikiliza hapa kwenye YOU HEARD


.

Tuesday, May 7, 2013

picha za rais MH. DKT JAKAYA KIKWETE akiwa arusha kuhani misiba ya walio kufa katika shambulio la bomu katika kanisa la Olasiti




skiliza nyimbo ya DOGO JANJA:maisha ya skonga


CLOUDS WAMJIBU LADY JAYDEE….WAMEDAI KUWA AACHE KUTAPATAPA NA BADALA YAKE AKAZE BUTI


Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye mmoja wa wakurugenzi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ameamua kujibu shutuma za Lady Jaydee dhidi yake. Ruge amekitumia kipindi cha Power Break Fast cha Clouds FM, kujibu rasmi shutuma hizo.
Amesema anasikitishwa na jinsi Jaydee anavyoendesha harakati zake na kudai kuwa anapigana kwenye vita isiyo sahihi.

Saturday, May 4, 2013

WOSIA WA LADY JAY DEE KAMA IKITOKEA AMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA

Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesi
Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa.

Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo