expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Tuesday, February 24, 2015

Nuh Mziwanda na Shilole wana #Breaktheinternet na hii picha,Vifua wazi

Kupitia Account yake ya Instagram Nuh Mziwanda amepost
picha hiyo akiwa na mpenzi wake Shilole "Shishi Baby"
wakiwa bafuni huku Shilole akionekana amekenua
"Kufurahi".
Picha hii imeleta mtazamo tofauti kwa baadhi ya mashabiki
wao huku wengine wakifurahia na wengine kuonesha
kukerwa na kitendo hicho

No comments:

Post a Comment