expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Thursday, May 30, 2013

wabunge nusura kuzichapa leo mjengoni


Za moto moto leo kutoka kwenye tunaloliita Bunge La Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, sintofahamu imetokea ndani ya bunge baina ya wabunge wa Cuf na Chadema, hali iliyopeleka wabunge wa vyama hivyo kutaka kupigana ndani ya Bunge.
hivi ndivyo hali ilivyokuwa....

No comments:

Post a Comment