expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Thursday, May 30, 2013

HII NDIO TWEET YA KIMAPENZI KATI YA MREMBO K'LYNE NA MHESHIMIWA REGINALD MENGI....ADAI KUWA NDIYE BABA WA MAPACHA WAKE WAWILI...!!


KATIKA kile kilichoonekana kuwa mapenzi haya Umri wala Rika leo katika pita pita zangu nimekutana na Tweet ya Msanii K'lyne akimtakia Happy Birthday kipenzi cha Roho yake Mheshimiwa Reginald  Mengi.



Kumekuwepo na Minong'ono mingi lakini hapakuwa na ushahidi wa hili mpaka mwanadada huyo alipoamua kuanika hadharani kuwa mheshimiwa bwana Reginald Mengi ndiye baba halali wa mapacha wake wawili. Happy Birthday Mmili wa makampuni ya IPP bwana REGINALD mengi kwa kumiliki mtoto mkali TOP in town kimwana Jackline Ntuyabaliwe(K'lyne)  mapenzi hayana macho siku zote.

Hii ndio Tweet ya K'lyne kwa mpenzi wake Mh. MENGI


No comments:

Post a Comment