expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Friday, February 27, 2015

Chidi Benz aachiwa huru baada ya kulipa faini ya shilingi laki 9

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 au kwenda jela miaka miwili kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya, ambapo amefanikiwaa kulipa pesa hizo na kuachiwa huru.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.

Tuesday, February 24, 2015

Nuh Mziwanda na Shilole wana #Breaktheinternet na hii picha,Vifua wazi

Kupitia Account yake ya Instagram Nuh Mziwanda amepost
picha hiyo akiwa na mpenzi wake Shilole "Shishi Baby"
wakiwa bafuni huku Shilole akionekana amekenua
"Kufurahi".
Picha hii imeleta mtazamo tofauti kwa baadhi ya mashabiki
wao huku wengine wakifurahia na wengine kuonesha
kukerwa na kitendo hicho

Hiriziiiii...!!!!!Fuatilia kisa kizima cha chegge na Hirizi mkononi. Yaleta Bifu kati ya Chegge na Maimartha wa Jesse

Picha ya Chege na Temba iliyozagaa mtandaoni yaleta chuki kati ya Chege na Miamartha, baada ya mtangazaji huyo kuweka Instagram picha hiyo iliyozungushiwa alama nyekundu kwenye mkono wa Chege ikionyesha kitambaa cheusi alichokuwa kajifunga na kuuliza kama ni Hirizi. 
Kwa mujibu wa Chege, Picha hiyo ilipigwa alipokuwa akifanya show wiki iliyopita mjini Dodoma, na kitambaa hicho si hirizi, bali ni kitambaa cheusi alichofunga kuashiria

New Video: Kidawa - Izzo B feat Shaah

Izzo B. mzee wa Mbeya, amedondosha audio na video ya wimbo mpya "Kidawa" siku ya jana, ikiwa ni kwa mara ya kwanza kufanya hivyo ambapo siku zote tumemzoea akiachia Audio na Video kufata Baadae
Tizama video ya wimbo huo mpya aliomshirikisha Shaah "Kidawa" hapa

Monday, February 23, 2015

Lulu, Wolper waingia katika kumi bora ya wasanii ambao ni warembo zaidi Afrika, list nzima hii hapa

Tasnia ya filamu Afrika inakuwa kila siku kiasi kwamba zile ndoto za kufanya kama wenzetu wa Hollywood (Marekani) na Bollywood (India) huenda siku moja zikatimia.
Kama ilivyo Hollywood na kwingine kwenye waigizaji wa kike wenye mvuto, wapo pia waigizaji wa kike Afrika ambao ni ‘visu’.Leo hii ikihitajika Top 10, kila mmoja atakuwa na yake lakini mtandao wa umefanya kazi ya kuorodhesha waigizaji 10 wa kike wenye mvuto kama ifuatavyo;


10. Elizabeth Michael ‘Lulu’

Binti huyu ana umri wa miaka 21 lakini ni mrembo na anayejiamini. Ni binti kutoka Tanzania mwenye kipaji cha kuigiza kiasi cha kuwa tishio kwa wakongwe. Ni kweli huwa anatumia ‘make up’ lakini hata akiwa hajatumia wala kuvaa ‘mawig’, bado anaonekana ni mwenye kuvutia.

Peter Okoye VS Davido: Nani ana Magari Mazurii????????

Tunajua wote ni wala bata.Davido na Peter wote wanamiliki magari mazuri na ya kifahari kwenye parking zao.
PETER OKOYE
Peter ni mwanamziki maarufu sana. Ni mmoja wa P-square anayependa vitu classic. anapenda kununua magari ya gharama, mazuri na ya kifahari sana. pia hupenda kutupia picha za magari yake ya kifahari kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii, magari anayomiliki ni kama Bentley GT ya 2014, Wrangler Jeep ya 2014, BMW X6 na mengine mazuri yaliyoko kwenye Garage yake.
Peter okoye daughter car
Peter_Okoye_Lamborghini
peterpsquare

Sunday, February 22, 2015

sikiliza wimbo mpya wa Iyanya ft Diamond: Nakupenda

Wimbo wa Iyanya aliomshirikisha diamond "Nakupenda (I Love You)"" ambao umevuja katika mitandai, wengi wakidhani ni wa diamond na Psquare umeachiwa rasmi leo hii na Iyanya
Iyanya na Diamond waliingia studio ku-record wimbo huo kwa mara yakwanza baada ya kudondoka bongo kwa ajili ya Fiesta, lakini baadae kazi hiyo walienda kuimalizia nchini Nigeria, Diamond alipoenda huko kwa ajili ya projectya One Capmpaign.


Je wajua mama wa Diamond yupo India kwa ajili ya matibabu...?????? Je wajua sababu ya diamond kuto hudhuria mazishi ya mzee sykes...??? Soma hapa

Baada ya kutupiwa shutuma na lawama nyingi kupitia mitandao ya kijaa kwa sababu ya kutokuweza kuhudhuria msiba wa marehem baba wa swahiba wake na kaka yake (kama anavyomuita) Dully Sykes, Mzee Abby Sykes huku akionekana akila bata na mpenzi wake Zari zanzibar, Diamond aamua kufunguka upande wake na sababu za kushindwa kufika katika mazishi.
Diamond amesema msiangalie mnachokiona katika Instagram mkajua mtu labda alikuwa anafanya starehe.....


"watu tu waliniona niko zanzibar, lakini ukweli hwajua zanzibar nmeenda kufanya nini, usiangalie kila unachokiona kwenye instagramukajua mtu labda kwasabbu alikuwa anafanya starehe,

Hatimae Floyd Mayweather atangaza siku ya mpambano kati yake na Manny Pacquiao

Baada ya miaka kibao ya kukubaliana, hatimae Floyd Mayweather amekubali kuingia ulingoni na mfilipino Manny Paquiao tarehe 2 mwezi watano MGM Grand, Las Vegas.
“Niliwaahidi mashabiki wangu tutafikia muafaka na tumefikiaI,” amesema Mayweather jana (ijumaa) “tutatengeneza history tare 2. msikose.”
Mayweather ametangaza baada ya wiki kadhaa za maelewano na fununu za kama ngumi kati ya unbeaten Mayweather na eight-division champion Pacquiao zitafanyika.