expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Tuesday, June 18, 2013

PINDA"bomu lililo lipuka limetengenezwa CHINA na hutumika na wanajeshi kujihami vitani"....!!!!

pinda-nassari-arushaWaziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema bomu lililolipuliwa katika mkutano wa Chadema ni la kijeshi na limetengenezwa China. Akizungumza mjini hapa jana, Pinda alisema uchunguzi unaendelea kujua bomu hilo limefikaje kwenye mikono ya waliohusika kwani uzoefu unaonyesha kuwa hutumiwa na wanajeshi kujihami wakiwa katika VITA.

No comments:

Post a Comment