1. Huko Hong Kong mwanamke anayemfumania mumewe akifanya mapenzi na mwanamke mwingine anaruhusiwa kisheria kumuua mwanaume huyo lakini kwa mikono yake pasipo kutumia silaha yoyote.
2. Watu toka Ugiriki wana wastani wa kufanya mapenzi mara nyingi kuliko watu wote duniani wakiwa na wastani wakufanya tendo hilo mara 145 kwa mwaka huku Wajapan wakiwa na wastani mdogo wa kufanya mapenzi mara 45 kwa mwaka.
3. Kujilazimisha kusahau kitu au kumsahau mtu fulani kunakufanya uwaze kuhusu kitu hicho au mtu huyo mara 100 zaidi.
4. Mashairi ya nyimbo za muziki huwa na mchango mkubwa kwenye ubongo wa mtu mwenye huzuni .
5. Mwanamke mmoja huko Uingereza mwaka 2005 alijifungua mapacha ambao walikuwa wanatokana na wanaume wawili tofauti yaani kilanpacha na baba yake,hii hutokea mara mojakwenye kila kesi 13,000.
6. Maumivu ya kihisia ambayo humpata mtu pindi anapoachana na mpenzi wake yanaweza kusababisha ugonjwa wa moyo.
7. Maumivu anayopata mwanamke wakati wa kujifungua yamethibitishwa kuwa sawa na maumivu ya mtu anayeungua moto huku akinishuhudia.
8. Tajiri wa Marekani Bill Gates hutumia zaidi ya dola laki saba na elfu arobaini kila mwezi kugharimikia nyumba yake ya kifahari.
9.Utafiti umeonyesha kuwa wakati mtu anapolia kwa uchungu chozi la kwanza hutoka kwenye jicho la kushoto,kinyume chake ni kwamba kila pale mtu anapolia kwa furaha chozi la kwanza hutokea jicho la kulia.
10.Utafiti uliofanywa kwa mashabiki wa mwanamuziki Justin Bieber umeonyesha kuwa mashabiki wanne kati ya watano ambayo ni sawa na asilimia zaidi ya 90 wanakumbuka majina ya nyimbo zake zote na hata mashairi lakini hawakumbuki jna la mji mkuu wa Iraq
source:millardayo.com