Msanii namba 1 wa bongo movies Steven Jacob(JB) mwanye heshima kubwa sana hapa nchini na nje ya nchi kwa kazi zake nzuri anazozifanya,amesema yuko mguu sawa kugombea UBUNGE mwaka 2015.
amesema hiyo ilikuwa ni ndoto yake ya siku nyingi.ila hajatamka hasa ni jimbo gani atakalo gombea ila atatamka baadae.
No comments:
Post a Comment