Ni wiki zinahesabika toka staa wa bongofleva Nay wa Mitego apate namba mpya ya gari lake inayoendana na ile ambayo amekua akiitaja kwenye nyimbo zake na kwenye page zake za mitandao ya kijamii. #966
Stori nyingine ya leo ni kutoka kwa staa mwingine wa bongofleva ambae kila anaefatilia huu muziki hapa bongo anamfahamu, ni yuleyule ambae amevunja rekodi ya kuwa staa pekee wa Tanzania alieandikwa sana kwenye mitandao ya kijamii na magazetini kwa miaka miwili mfululizo.