Hawa ni baadhi ya wameru walio handamana kutoka Meru wakielekea Hospitali yaSeliani Jana
Joshua Nassari akiongea na waziri mkuu alipokuja mtembelea Hospitali jana.
wananchi wakiwa kwenye uzio wa hospitali ya Seliani wakiimba na kumdai mbunge wao ili waondoke nae.
-
WAZUNGUKA NA MAJANI MJI MZIMA NA KUZINGIRA HOSPITALI YA SELIAN.
-
WASHANGA KWANINI WALIO HUSIKA HAWAJA KAMATAWA?
-
WAZINGIRA HOSPITALI NA KUONYA KITAKACHO MPATA MBUNGE WAO WENYEWE WATAJIBU.
-
HOFU YATANDA WANAUSALAMA WASHAURI NASSARI AHAMISHIWE.
-
KUNAUVUMI KUWA MABOMBA YA KUPELEKA MAJI MONDULI YAKATWA.
No comments:
Post a Comment