expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Wednesday, June 19, 2013

WAMERU WACHARUKA! WAMFUHATA MBUNGE WAO NASSARI NA KUSEMA WATAMLINDA WENYEWE

?????????????????????? 
Hawa ni baadhi ya wameru walio handamana kutoka Meru wakielekea Hospitali yaSeliani Jana
??????????????????????
Joshua Nassari akiongea na waziri mkuu alipokuja mtembelea Hospitali jana.
??????????????????????
wananchi wakiwa kwenye uzio wa hospitali ya Seliani wakiimba na kumdai mbunge wao ili waondoke nae.
??????????????????????
?????????????????????? 

  • WAZUNGUKA NA MAJANI MJI MZIMA NA KUZINGIRA HOSPITALI YA SELIAN.

  • WASHANGA KWANINI WALIO HUSIKA HAWAJA KAMATAWA?

  • WAZINGIRA HOSPITALI NA KUONYA KITAKACHO MPATA MBUNGE WAO WENYEWE WATAJIBU.

  • HOFU YATANDA WANAUSALAMA WASHAURI NASSARI AHAMISHIWE.

  • KUNAUVUMI KUWA MABOMBA YA KUPELEKA MAJI MONDULI YAKATWA.



No comments:

Post a Comment