expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Thursday, June 20, 2013

Mpenzi wa Balotelli awa kivutio huko Brazil.

image

Kwenye mchezo dhidi ya Japan Fanny alikuwa amevaa jezi ya Balotelli
Kwenye mchezo dhidi ya Japan Fanny alikuwa amevaa jezi ya Balotelli
image
image
image
image
image

Baloteli akishangilia goli alilofunga dhidi ya Japan.
Baloteli akishangilia goli alilofunga dhidi ya Japan.
Mpenzi wa Mario Balotelli mshambuliaji wa timu ya taifa ya Italia, Fanny Neguisha ameonekana kuwa moja ya vivutio kwenye michuano ya kombe la mabara inayoendelea nchini Brazil ambako amekua akihudhuria mechi zote za Italia na usiku wa kuamkia June 20 alikuwepo uwanjani wakati Italia inacheza na Japan akiwa amevaa jezi ya Italia.
Kwa wasiomfahamu wanaweza kudhani kuwa mwanamitindo huyo ni raia wa Italia kwa uzalendo aliouonyesha akiwa uwanjani lakini yeye ni raia wa Ubelgiji, uwepo wa Fanny uwanjani unaonekana kumsaidia Super Mario ambaye alifunga moja ya mabao yaliyoisaidia  Italia kushinda 4-3.
Hivi karibuni Mario alimvika mpenzi wake Fanny pete ya uchumba yenye thamani ya paundi laki moja baada ya tetesi kuwa zimesikika juu ya wawili hao kuachana.

No comments:

Post a Comment