expr:class='"loading" + data:blog.mobileClass'>

Thursday, November 24, 2016

unisplash..........unisplash........unisplash..............!!!!!! Angalia show ya kijanja kutoka chuo cha uhasibu Arusha IAA

Angalia msimu mpya wa unisplash. ni kipindi kinachorushwa kutoka chuo cha uhasibu Arusha kikielezea maisha ya wanafunzu wa chuo cha uhasibu Arusha na matukio mbalimbali yanayotokea katika chuo cha uhasibu Arusha.
leo wanazungumzia kuhusu tukio la MR & MRS IAA.
Bonyeza video hii kuangalia show ya kijanja bila kusahau ku LIKE na ku SUBSCRIBE

Monday, September 28, 2015

@AyoTV: Maneno ya Irene Uwoya kwa Wasanii walioshindwa Ubunge 2015.

Irene 
Irene Uwoya ni mwigizaji kutoka bongomovie Tanzania na amekua miongoni mwa Wanawake watano wanaotajwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza Tanzania, mwaka huu 2015 ameingia kwa mara ya kwanza kwenye siasa na kupita kwenye Ubunge wa viti maalum, bonyeza play umtazame kwenye hii video hapa chini.

Sunday, September 27, 2015

Wachina safari hii wana hili Daraja lililotengenezwa kwa kioo juu ya Milima ..!! angalia picha hapa

Kutokana na ukuaji wa Teknolojia pamoja na kasi kubwa iliyopo Duniani kwenye soko la Ushindani na Ubunifu, kila siku tunaona ubunifu mkubwa sana ukigusa headlines za habari kubwa Duniani !!

Thursday, July 30, 2015

Vituko vya Maradona haviishi!! safari hii kamtuhumu mke wake kumwibia fedha


maraa
Mkongwe wa soka duniani Diego Maradona amerudi kwenye headlines tena baada ya kumtuhumu mke wake wa zamani Claudia Villafane kuwa amemuibia fedha kwenye akaunti yake.

Friday, February 27, 2015

Chidi Benz aachiwa huru baada ya kulipa faini ya shilingi laki 9

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 au kwenda jela miaka miwili kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya, ambapo amefanikiwaa kulipa pesa hizo na kuachiwa huru.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.

Tuesday, February 24, 2015

Nuh Mziwanda na Shilole wana #Breaktheinternet na hii picha,Vifua wazi

Kupitia Account yake ya Instagram Nuh Mziwanda amepost
picha hiyo akiwa na mpenzi wake Shilole "Shishi Baby"
wakiwa bafuni huku Shilole akionekana amekenua
"Kufurahi".
Picha hii imeleta mtazamo tofauti kwa baadhi ya mashabiki
wao huku wengine wakifurahia na wengine kuonesha
kukerwa na kitendo hicho